Nimekutana na Huu Mjadala Jamii Forums Mdau mmoja Ameuliza kuhusu Mimba ya Zari aliyepewa na Diamond.......

Mdau Alifunguka Hivi:

'waungwana ile mimba ya mwana bongo fleva platinum kwa mke wake zari imefikia wapi?
Nauliza hvyo kwakua siku zinavyo zidi kwenda mzigo hauonekani au ni macho yangu mimi
Samahanini kwa usumbufu'

Baada ya Mtoa Mada kuandika hayo hizi ni Baadhi ya Comments walizotoa:

-Hahaha hapo sasa inatia mashaka sna

-afu zari mbona ana block watu saana mimi mmoja wapo kani block

-Hahaaa...hapo ndo kwenye mashaka

-mh mawifi na mashemeji wa Tanzania mna gubu sana....


-Si vibaya kutaka kujua, ukishakua celeb. ni kawaida raia kufuatilia each of ur biz., hata unavyotiana.

-Wengi wenu ni timu mama Ubaya.!

-jana tuu katoka kuwaambia amebebewa na mama zao, sasa sijui hawakielewa??

-mtoa mada jaribu kufikiri hata kwa kutumia akili za kukopa,, mimba ya Zari ww inakuhusu nn??

Post a Comment

 
Top