Muigizaji Jackline Wolper Almaarufu kama Wolperr Gambe amesema anatarajia kujifungua miezi mitano ijayo.Ameyasema hayo alipokuwa akitoa pongezi kwa Diamond na Zari ambapo siku ya jana walipata mtoto hichi ndicho alichokisema
“Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera mtani wangu one love @diamondplatnumz,”
Tusibiri nae tumpe pongezi
Related Posts
- Alikiba Apost Picha Kuonyesha Ukubwa wa Mimba ya Wema Sepetu.27 Jan 20160
Wema Sepetu Week Mbili Hizi Amekuwa kwenye Headlines sana ikisemakana kuwa Anaujauzito wa Msh...Read more »
- Baada ya Shamsa Ford Kuachana na Nay Huyu Ndie Aliyeziba Pengo.21 Nov 20150
Staa Nay Wa Mitego Baada ya Kuacha na aliyekuwa Mpenzi wake Shamsa Ford najua utakuwa mfuatilia...Read more »
- Uhusiano wa Kimapenzi Kati ya Idris Sultan na Samanthan Umevunjika.21 Nov 20150
Big Brother Africa Hotshots winner Idris Sultan ambaye kwa sasa yuko Mbioni kuanza Show yake mp...Read more »
- Jokate Anasa Ujazito wa Alikiba.07 Nov 20150
Staa Jokate Mwagelo ambaye kwa sasa yuko Mapenzini na Staa wa Muziki wa Kizazi Kipya Ali Kiba...Read more »
- Picha za Wema Sepetu Afunga Ndoa na Luis Munana wa Namibia.29 Oct 20150
Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi ...Read more »
- Video ya Shilole Ana Mimba ya Nuh Mziwanda.26 Oct 20150
Tetesi za Hapa na pale ni baada ya kusika kuwa Msanii Shilole ana Ujazito wa Mpenzi wake Nuh Mz...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.