Dayna  Nyange
                   Ni   tarehe 15  ya mwezi wa 6 jumaa mosi ndani ya Nashela  Hotel mwana dada Dayna Nyange ameahidi kufanya bonge ya show  katika kumtafuta   REDDS  MISS MOROGORO 2013. Kwa mara ya kwanza wakazi wa Morogoro wategemee bonge ya show toka kwangu.
SIKU- Jumaa mosi tarehe 15/06/2013
MAHALI- Nashela Hotel  Morogoro
MUDA - 20:00 
KIINGILIO - 10000 kwa 7000
Karibuni wote nawapenda sana 

Post a Comment

 
Top