Home
»
Matukio
» Breaking News; Ndege ya Jeshi yaanguka na kuwaka moto uwanja wa ndege Mwanza, rubani anusurika!
Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi imelipuka na kuteketea.
Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino kafanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika ingawa inadaiwa kavunjika mguu na kukimbizwa hospitali.
Moja kati ya Mashuhuda wakiripoti kuhusu Mlipuko huo wa ndege ya Jeshi
Ni kweli imeanguka na kulipuka moto.
Ni ndege ya Jeshi ambayo hubeba mabomu, ilikua kwenye mazoezi ya kawaida ambayo hufanyika mara kwa mara. Lakini kwa leo haikuwa na mabomu na ilikuwa na Rubani pekee.
Rubani amenusurika kwani aliruka na mwavuli, amepata majeraha kidogo na kukimbizwa hospital ila ndege yote imeteketea kwa moto.
By Moshe Dayan
Ni jet fighter, ilikua kwenye routine exercise za kila wiki. Zilikuwa zinaruka mbili kwa formation. Wakati zina take-off moja ikaanza kuwaka moto nyuma. Rubani alitoka kwa ejector seat, amepona. Ndege imeharibika vibaya.
Credi Jamii Forums
Related Posts
- Dk. Manyaunyau Jela Miaka 3 Baada Kushindwa Kufufua Maiti27 Nov 20150
Mkazi wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia k...Read more »
- Bosi Amuunguza Maziwa Kwa Tindi Kali Msichana Wake wa Kazi.21 Nov 20150
Mwanamke Mmoja nchini Nigeria Amemfanya Kitu Mbaya Msichana wake wa Kazi baada ya Kukuta ameche...Read more »
- Mkazi wa Morogoro Ajikata Kiganja Baada ya Mh Lowassa Kukosa Urais.12 Nov 20150
Mkazi mmoja wa mkoa wa Morogoro amejikata kidole chake kidogo cha mkono wa kushoto ambacho hu...Read more »
- Watu 9 wa Familia Moja Wamefariki Buguruni Malapa kwa Ajali ya Moto.27 Aug 20150
Watu 9 wa Familia Moja jijini Dar wamefariki siku ya Jana baada ya Ajali ya Moto kutokea nyumba...Read more »
- Msichana wa Kazi Amuambikiza Ukimwi Mtoto wa Miaka 3 kwa Kumchanganyia Damu ya Bleed kwenye Uji.15 May 20150
Gazeti la The Gardian linalotolewa na kampuni ya IPP Media linastory kuhusu Msichana wa kazi al...Read more »
- Kashfa: Nesi Amchapa Mjamzito Viboko Mpaka Kitoto Chafariki25 Apr 20150
Gazeti La Nipashe leo limeripoti kuhusu habari ya Nesi anaye wachapa wanawake waja wazito ...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.