Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi imelipuka na kuteketea.

Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino kafanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika ingawa inadaiwa kavunjika mguu na kukimbizwa hospitali.


ndege-ya-jeshi-yaanguka-na-kuwaka-moto-uwanja-wa-ndege-mwanza 


ndege-ya-jeshi-yaanguka-na-kuwaka-moto-uwanja-wa-ndege-mwanza



 Moja kati ya Mashuhuda wakiripoti kuhusu Mlipuko huo wa ndege ya Jeshi


Ni kweli imeanguka na kulipuka moto. 

Ni ndege ya Jeshi ambayo hubeba mabomu, ilikua kwenye mazoezi ya kawaida ambayo hufanyika mara kwa mara. Lakini kwa leo haikuwa na mabomu na ilikuwa na Rubani pekee.

Rubani amenusurika kwani aliruka na mwavuli, amepata majeraha kidogo na kukimbizwa hospital ila ndege yote imeteketea kwa moto.

 By Moshe Dayan
Ni jet fighter, ilikua kwenye routine exercise za kila wiki. Zilikuwa zinaruka mbili kwa formation. Wakati zina take-off moja ikaanza kuwaka moto nyuma. Rubani alitoka kwa ejector seat, amepona. Ndege imeharibika vibaya.

Credi Jamii Forums 

Post a Comment

 
Top