Je wajua kuwa unaweza kujitengenezea kipato kwa njia rahisi tena bila ya kutoka jasho?

Ndio, sisi wataalamu wa kutengeneza website nzuri, za kisasa na zenye viwango vya kimataifa tunakuwezesha wewe mtanzania kuweza kujipatia kipato kwa kila mteja utakayemleta kwetu ambaye anahitaji kutengenezewa website. Tunatengeneza website za aina mbali mbali kwa ajili ya matumizi ya aina mbali mbali kama vile:

  • Personal websites
  • Business/Corporate websites
  • Entertainment websites
  • Directory & Listings websites
  • eCommerce websites
  • Real Estate Websites
  • Blogs & Forums

Malipo ya fedha taslimu Tshs.25,000 kwa kila mteja utakaye mleta kwetu.

Kwa yeyote anayehitaji kutengenezewa website au kama una mtu unayemfahamu amabaye anahitaji kutengenezewa website tafadhali usisite kuwasiliana nasi kupitia anwani zifuatazo:
Mobile: +255 768 444 224

Post a Comment

 
Top