Baada ya Diamond Platnumz kukanusha kuwa hakukuwa na bifu baina yake na Davido lakin leo kwenye Twitter limeibuka lingine na moja kwa moja likiwa linamlenga Diamond, Kutoka kwenye akaunti ya Twitter ya msanii Davido kutoka Nigeria ametweet maneno yanaonyesha kufedheheshwa na tabia ya Diamond Platnumz na laichokiandika hiki hapa chini
"Ur downfall is coming u bastard ungrateful broke fool!!"
Post a Comment