Homeboy anadai yuko tayar kuacha mke kwa sababu ya mkono (punyeto)

Wandungu nina homeboy wangu flan ambae tunaishi nae jirani huku kwa weupe, huwa ananshangaza sana kwa hii tabia yake ya kuendekeza kupiga mkono sometime ata mbele ya mke wake. Akinsimulia kuhusu tabia yake hiyo homeboy huyo anadai alinza mchezo huo wakati alipofikisha miaka 15, mwanzo alianza km kawaida ila siku zilivyokwenda ndio mchezo huo ulizid kumuingia kwenye damu mpk kufikia kipind cha kuwa anapiga bao 3 kwa siku ila ktk vipindi tofauti, yani asubuh, mchana, na usiku. Cha kushangaza homeboy huyu kaendelea na tabia yake hata baada ya kuowa, nasikia kuna kipindi anaweza kuchukua hata wiki afanyi tendo la ndoa na mkewe yan anakosa hamu kabisa ya kufanya tendo hilo na mkewe, ila cha kushangaza nguvu za kupiga mkono huwa anazipata na mda mwingine anapiga mkono ata mbele ya mkewe hadi anashusha mzigo, akitembea barabarani akiona mtu kajaliwa kidogo makalio au kavaa nguo inayoonesha chu.pi basi homeboy akifika nyumban break ya kwanza chooni kupiga mkono, huku mkewe akilalamika kila siku kunyimwa haki yake ya ndoa. So nimekuja kwenu wadau mnisaidie ushaur wa kumpa huyu jamaa ili aachane na mkono na kudumisha ndoa yake na mkewe maana ishakuwa km ugonjwa kwake!

Post a Comment

 
Top