p-square-don-jazzy-on-set


Mastaa kutoka Nigeria kama Peter na Paul Okoye ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P Square, Jude Okoye, Don Jazzy, Clarence Peters kwa sasa wapo South Africa wakifanya shooting ya video ya single yao mpya ambayo imwakutanisha wote kwenye single moja ya 'Collabo'. Chini ni baadhi ya picha kutoka huko South teremka nazo 





p-square-don-jazzy-on-set 


p-square-don-jazzy-on-set 


p-square-don-jazzy-on-set 



p-square-don-jazzy-on-set 


p-square-don-jazzy-on-set 

Yawezekana ikiwa ni collabo kubwa sana kwa mwaka huu 2015 ikuwa imejumuisha wasanii wakubwa barani Afrika endelea kuwa nasi kwenye kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza Facebook Twitter na Instagram

Post a Comment

 
Top