Uwiiiii tatenaneeeee, mambo yamefika mahala pake, Moza alikamatwa monday na kuwekewa dhamana jumatano na kesi bado inanguruma, haaa picha linaanza pale ambapo yeye mwenyewe anakataa oooh sio mie niliochukua ile video ze police wakamuuliza pale ni kwako YES so nani alichukua video sio miee, nasubiria movie iendeleee haki vile palipofika nimefurahi hatimaye TCRA watalifanyia kazi si kwa wanaume /wanawake hii ni kwa wote wanaowadhalilisha watu umelala na mtu halafu unamrekodi ili iweje?? kama sio kudhalilishana ni nini kwa kweli im so hapyyyyyyy na TCRA big up kwa ku follow up this case, its high time vimbelembele wavitulize 
NB
mwanamke/mwanaume  mwenye akili zake hawezi kufanya hivi ukiona mtu anafanya hivi ujue maisha yake hajielewi of-course she/he got nothing to lose, jamani hata Ezden mwenyewe nilivyoongea naye katika simu nimemwambia na nyie muangalie na wanawake wa kutoka nao jamani khaaaaa.
~Sintah

Post a Comment

 
Top