Staa Ray C ameangua kilio leo baada ya kunyimwa dawa aina Methadone ambaye kazi yake kubwa ni kuondoa addiction ya madawa ya kulevya ambayo amekuwa akiitumia kwa takribani miaka miwil sasa.
Leo kwenye Instagram yake amepost video hiyo huku akitoa machozi baada ya kunyimwa dawa hizi huku chanzo kikisemekana kuwa ni kuchelewa kuwahi hospital na sababu aliyotoa kuwa anatoka mbali ivyo kuna adha ya foleni tizama video hapa chini
Related Posts
- Video; Tanesco Wagundua Wizi wa Umeme Nyumbani kwa Wema Sepetu.08 Dec 20150
Shirika la Umeme Nchini Tanesco Limekata Huduma ya Umeme Nyumbani kwa Staa kutoka kiwanda cha b...Read more »
- Tuzo Nne Walizoshinda Vanessa Mdee na Diamond Platnumz AFRIMA Hizi Hapa.16 Nov 20150
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lag...Read more »
- Ulimiss Kile Kisa cha Bibi Harusi Aliyetoroka Katika Siku yako Ndoa Huko Moshi.11 Nov 20150
Bibi harusi Doroth Msuya aliyetoroka saluni akipambwa saa tatu kabla ya kufungwa kwa harusi ...Read more »
- Martin Kadinda Akieleza Juhudi Alizozifanya ili Kuomuona Jackline Cliff China Gerezani.04 Nov 20150
Jina la Jackie Cliff sio geni masikioni kwa watu kutokana na Umaarufu alikuwa nao staa huyu amb...Read more »
- Picha ya Tuzo Mpya Aliyoshinda Diamond Platnumz za MTVEAM 2015.26 Oct 20150
Msanii Diamond Platnumz Amenyakua Tuzo zingine za MTVEAM katika Kipengele cha Best World Wide...Read more »
- Baraka Da Prince yuko Mapenzini na Agness Masogange?11 Sep 20150
Hit Maker wa Single ya Nivumilie Baracka Endrew ama Baracka De Prince’ amefunguka kuwa kufu...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.