Urembo:Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi majuzi alitupia picha yake ya zamani mtandaoni (hiyo...
Jide: Kazi ya muziki nzuri jamani, Nilitoka kwetu na elfu 6 nikarudi mkoba umejaa. Aringishia mkwanja alizotunzwa jukwaani
Msanii akishafanikiwa kuwashawishi mashabiki kulipa kiingilio na kuingia kwenye show yake, hana kazi ya ziada zaidi ya kufanya show nz...
Project Mpya ya Jack Wolper na Marco Chali wa Mj Records Kutoka Kimapenzi, Sikiliza You Heard Hapa
Kama ulikuwa na mbali na Radio yako ukapitwa na U Heard kwenye XXL ya jana January 30, Soudy Brown alikuwa na story kuhusu tetesi za uhu...
Davido ft Uhuru + Dj Buckz - The Sound (Official Video)
. Staa wa Nigeria David Adedeji Adeleke aka Davido time amekuletea video ya single mpya inayoitwa The Sound akiwa amewashirikish...
Kama ulikuwa hujui Fid Q ni mkuu wa shule ya Nottingham Academy ya Uingereza.
Pichani ni jengo la Nottingham Academy, Ni academy pacha na ile ya West Nottingham language academy. Zote hizi zipo nchini England b...
Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake.
Nanukuu ya leo kutoka kwenye gazeti la Mwanachi kuhusiana na sakata la Richmond alilowahi kuhusika aliyekuwa Waziri mkuu wa zama...
Mkasa wa Binti Aliyetoa Penzi kwa shemeji yake bila kutongozwa uko Hapa.
Wasalaam wana jamii Forums,kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu yamenifika hayo. Ni rafiki yake na aliyekuwa mtu wangu kwani baada...
Jinsi ya Kumsadia Mwanaume/Mwanamke Anayefika Kileleni Mapema.
Wanajamii kuna tatizo LA kuwai kufika kilele kwa baadhi ya watu, na najua watu wengi wamewai kusikia. Inawezekana ikawa ni ugonjwa au matati...
Mwanaume kutomwandaa mwanamke ni sawa na kumbaka.
Jamani wanawake wengine wanashida mtu upo kwenye ndoa lakini kila siku unaparamiwa kama mbwa na wala hamsemi kimya mnaugulia mi...
Penzi la Siri kati ya Millard Ayo na Jokate Mwagelo linazidi kuchukua sura Mpya.
Waswahili wanasema lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, Hivi karibuni kumekuwa na stori nyingi sana kuhusiana na ukaribu k...
Mume wa Isha Mashauzi Afanyiwa Ukatili wa Kutisha Afrika Kusini.....Akatwakatwa sehemu za siri, ajeruhiwa vibaya mgongoni, tumboni na kwenye jicho
MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Jumanne Tevez, mkazi wa Dar es Salaam, amefanyiwa unyama baada ya kudaiwa kukatwa uume wake na ...
Kituo cha Polisi Dar chabadilika na kuwa Gesti Fumanizi la aina yake Video iko Hapa.
Kuna matukio mengine ukiyasikia unaweza kushangaa sana laiti kama wanadamu wangekuwa wanaogopa kufanya ngono kama wakiambiavyo mvua bas...
Aibu: Sista wa Kanisa la Roman Katoliki Ajifungua Mtoto wa Kiume
Utata umeibuka baada ya sister wa Kanisa Katoliki huko Italy aliyekuwa akilalamikia maumivu ya tumbo na kukimbizwa Hospitali na kujif...
Nimekuwekea Video ya dakika 10 ya Kipigo kizito Alichopewa Lipumba pamoja na Wanachama wengine wa CUF
Hii ni Video ya kichapo kizito toka kwa polisi walichopewa wanachama wa CUF wakati wa maandamano yalioyoongozwa na Mweny...
Wahudumu wa Mochwari huko Simiyu Wagoma Kuzika Maiti Iliyoharibika
Wahudumu wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya...
Polisi Wamkamata Wema Sepetu Kwa Madai ya Kupiga Muziki Kwa Sauti Usiku
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiw...
Ndoa ya Wolper Yabuma......Wazazi wa Manaiki Sanga Wamkataa
Msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga,amesema kuwa yuko katika wakati mgumu sana kwa sababu wazazi wake wamemtolee nje ishu ya kwen...