Hivi Jamani ni kweli msanii ili uendelee kuwa midomoni kwa watu kila mara lazima uwe na Skendoz ama kuweka picha za Kiasara Mitandaoni? ...
Msanii wa Bongo Movies Akiri Kufanya Biashara ya Kubeba Unga na Kuwauza Wasichana Wenzake kwa Wanaume
Akihojiwa na Mtandao wa GPL Msanii Lungi Ameulizwa Maswali Mbali mbali , ambayo yamenishtua kidogo ni haya mawili hapa chini ambayo ameki...
Picha ya Nay wa Mitego Akiwa na Msichana Uchi Kitandani Yazua Mjadala, Wengi Wasema ni Udhalilishaji wa Mwanamke
Picha hii imepostiwa kupitia Account ya msanii wa Nay Wamitego ya Instagram akiwa yupo kitandani na mwanadada ambae amevalia bikini huku ...
Maskini ile Ofisi ya Kanumba the Great Films Yafungwa Rasmi, Mama na Wadogo zake Kanumba Washindwa Kuiendesha
Kuna Msemo unasema Asiyekuwepo na lake halipo , Wengi tunamkumbuka Mwigizaji Marehemu Kanumba alivyobadili mchezo wa Bongo Movies Mpaka...
Picha ya Mahaba ya Wema Sepetu na Ommy Dimpoz Yazua Jambo, Mashabiki Wamtaka Aanzishe Project na Dimpoz Kumsahau Diamond
Udaku Special Blog: Baada ya Picha ya Wema Sepetu na Ommy Dimpoz Kuwekwa Mtandaoni ikionyesha wawili hao kukaa mkao wa kimahaba huku wem...
Hussein Machozi Anaswa na Mchepuko wa Kidhungu, ni Baada ya Kumtelekeza Mke Wake wa Kimombasa
Kama ulikuwa unajiuliza Hussen Machozi Yupo wapi baada ya kupotea kwenye Ramani ya Muziki basi leo utapata jibu hapa. Hivi Karibuni Mwana...
UNYAMA: Mtuhumiwa Aua Polisi Kwa Panga Dodoma
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kum...
Kivazi cha Lulu Instagram chazua Balaa
Kivazi alichotupia juu staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' kimewaacha hoi baadhi ya mashabiki wake Instagram....
Gwajima Amkana Mtoto anayedaiwa kuzaa na Florah Mbasha.....Asema hakujua kama Flora ni Mjamzito
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Inj...
VIDEO inayoonyesha Rais Mugabe akianguka kwenye ngazi
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugab e tumesikia mara nyingi akiwa na migogoro na mataifa ya Ulaya, Marekani ishu kubwa ni kitendo cha Mugab...
Mtoto wa miaka miwili ni mmoja ya waliosalimika ajali ya ndege ya TransAsia iliyoangukia mtoni
Mtoto wa kiume wa miaka miwili ni mmoja ya watu walionusurika kufariki katika ajali ya ndege ya TransAsia iliyoua watu 31 huko Taiwani b...
Muonekano wa Lulu 2015 Wawa Gumzo, Midume yasema Anazidi Kuwa Mtamu Kama Mcharo
Lulu Michael Mrembo wa Bongo Flava amezidi mwagiwa sifa Kede kede mitandaoni hasa Instagram kwa jinsi anavyojiweka kimuonekano japo...
Mke Wangu Ataniua Jamani, Anataka Tufanye Mapenzi Kila Siku
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zilizop...
Picha: Mwimbaji Flora Mbasha Ajifungua Mtoto
Habari tulizozipata kupitia mitandaoni ni kuwa Mwanamuziki Flora Mbasha Amejifungua mtoto , Bado hatujaweza kujua ni mtoto gani, Picha ak...
Hirizi Yakutwa Getini Kwa Wema Sepetu, Yaambatanishwa na Picha ya Diamond
Stori: Issa Mnally na Richard Bukos/Risasi Mchanganyiko IMANI za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss Tanzania 2...