STAA wa Bongo movie anayejulikana kama Wema
Abraham Sepetu, hivi karibuni
aliweka picha yake akiwa katika
mahaba motomoto na mwanaume inavyosemekana kuwa ni mwanaume wake.
Picha hiyo aliiweka
kwenye mtandao wa BBM inamuonesha mwana dada wema akinyonyana (DENDA)mwanaume huyo lakini picha ikiwa
imekatwa na kuonyesha mitaa ya kidevu na mpaka kiunoni.
Baada ya kuweka picha hiyo, Wema aliandika hiviiiii:
‘Miss you mume wangu,
wewe ndio kila kitu katika maisha yangu, watasema sana lakini mambo yetu
yanatuendea vizuri.”
Post a Comment