Lol. Kwenye Mitandao ya kijamii kama Facebook Instagram na Twitter kuna mambo sijui kama ulishawahi kuona wapenzi wakigombana ndani...
New Ride; Gari Mpya Aliyonunua Davido Porsche iko Hapa.
Staa Davido Week Hii amepost picha ya Gari yake Mpya aina ya Porsche Congrants Davido Work Hard Pays
Exclusive; Mali Anazomiliki Zitto Kabwe.
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na mwenyekiti wa hesabu za serikali (PAC), mheshimiwa Zubeir Zitto Kabwe amefanya kitendo cha kiungwan...
Download New Hit Manecky ft Jux, Young Dee, G Nako, Ben Pol, Quick Rocka - Am Happy.
Breaking News; Mtanzania Akamatwa Kenya Akihusishwa na Mauji Chuoni Garrisa.
Mapema leo watu wanne wakutwa wakiwa hai katika moja ya majengo yalioko chuoni Garissa University Campus ambapo siku ya jana takriba...
Taarifa Kuhusu Upotoshaji wa Uswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015.
Taarifa kwa vyombo vya Habari , 4 Aprili 2015 kutoka Facebook Taarifa kuhusu upotoshaji wa mswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015 ...
Photos; Ray Afumwa na Husna Wakiwa Kwenye Mahaba.
King kutoka Industry ya Movie Tanzania Bongo Movie Vincent Kigosi maarufu kama Ray ameonekana na mpenzi mwingine Usiku mnene pande za Esc...
Exclusive; Mali Anazomiliki Mchungaji Gwajima.
Ile Story ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima bado inaendelea na kwa sasa nakuletea baadhi ya mali anazomiliki na...
Breakin News; Wanachama 7 wa Simba wafariki kwa Ajali Mbaya ya Gari Mororogo.
Taarifa zilizo nifikia hivi punde zinasema kuwa Wanachama Saba (7) wa Klabu ya mpira ya Jijini Dar es salaam Simba Sports Club maarufu kama...
Chama cha ACT Tanzania Kimetangaza Rasmi kuwa Muasisi wa Chama Hicho ni Zitto Kabwe.
Kutoka kwenye Gazeti la Habari leo wametoa taarifa kuhusu mmiliki wa cha kipya ambacho aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini amehamia u...
Mtangazaji wa BBC Charles Hillary Arudi Nyumbani Kujiunga na Azam Tv.
Taarifa zilizo nifikia hivi punde ni kuwa Mtangazaji maarufu wa kutoka shirika la Utangazaji BBC, Charles Hillary anayetangaza Idha ...
Amber Rose Akiri Bado Anahilitaji Penzi la Wiz Khalifa.
Siku ya jana Staa Amber Rose ambaye ni Ex-girlfriend wa Rapper Wiz Khalifa kutoa ya moyoni kuhusu anavyompenda Wiz Khalifa na anam...
Photos: Kweli Lulu Ana Mimba Ushahidi Huu Hapa.
Mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekuwa akiweka picha zake kwenye mitandao ya kijamii huku akionyesha tumbo lak...
Taarifa Kamili ya Shambulio La Kigaidi Chuoni Garrisa Kenya liliofanywa na Al-Shabab
Siku ya jana kwa Upande wa kenya ilikuwa mbaya kutoka na kundi la Al shabab lenye makazi yake nchini Somalia kuivamia Kenya katika chuo c...
Maajabu; Picha za Mtoto Aliyezaliwa Bila ya Pua.
Mtoto Eli Thompson ambaye alizaliwa March 4th katika Hospital ya Alabama akiwa hana pua. Cha ajabu na kushwangaza mtoto huyu mara ba...
King Lawrence Anavyojaribu Kusambaratisha Mapenzi kati ya Diamond na Zari.
King Lawrence bado anaendele kuliandama Penzi kati ya Staa Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady kwa kashfa kibao moja wapo ikiwa ni kumt...
Exclusive; Diamond Platnumz Amvisha Pete ya Uchumba Zari Kisiri Ushahidi Huu Hapa.
Katika pita pita zangu leo kwenye mitandao nikafanikiwa kupata hii picha ya Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarina Hassan maarufu kama Zar...
Photos; Ice Prince Anamiliki Demu Mkali kuliko Wote Africa Hakuna.
Staa Iceprince kutoka Nigeria ambaye kwa sasa ndie msanii anayemiliki Demu mkali kushinda wote mwenye asili ya French-Ghanaian akiwa...
Photos; Mpiga Picha za Uchi Maarufu Maheeda Anza Kuvaa Kiheshima Baada ya Muhhamad Buari kushinda Urais.
Yule Muimbaji wa Injili kutoka Nigeria anayesifika kwa kupiga picha za Uchi Maheeda sasa ameamua kubadili mavazi baada ya kile kinacho...
Ukatili; Mume Amchoma Mkewe kwa Petroli na Kuumua Mwanae wa Mwezi Mmoja.
Mwanamke mmoja mkazi wa Bwai wilayani Butiama anayejulikana kwa jina la Kudra Nanja March 31 mwaka huu alikumbwa na mkasa wa kikatili ...